Kwenye Shindano hilo,Endapo Bingwa wa Ligi Kuu Ndiye atakuwa Bingwa wa Kombe la Shirikisho pia basi yule aliyeshika nafasi ya nne kwenye Ligi Kuu atashiriki Shindano hilo.
Pia Bodi ya Ligi imetangaza Kuwa Sherehe za Utoaji wa Tuzo utafanyika siku tatu mara Baada ya Fainali ya Kombe la Shirikisho kuchezwa.
0 Comments