Kwa bahati mbaya mchezo wa jana haukuwa mzuri kwa Simba SC lisha ya kuongoza kwa kipindi cha kwanza lakini Yanga waliporudi kipindi cha pili walifanya mabadiliko na kushinda magoli 2 dhidi ya Simba 1.
Sasa hapa nimekusogezea ufahamu alichokisema Msemaji wa Simba SC, Ahmed Ally baada ya matokeo yao dhidi ya Yanga.
0 Comments